Habari
Picha: Makamu wa Rais afunga mkutano wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu amefunga mkutano wa Mkuu wa 9 wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) na kuwasihi viongozi waliochaguliwa kuongoza jumuiya kwa maslahi ya Jumuiya hiyo na CCM kwa ujumla. Ambapo mkutano huo ulikuwa ukifanyika mjini Dodoma.