Burudani

Linex adai mademu wa kibongo ‘longolongo’ ndio maana hawadumu kwenye ndoa

Linex amesema anawakubali zaidi mademu wakizungu kutokana na kuwa wakweli katika mahusiano huku akidai mademu wengi wa bongo waongo waongo.
92be8__LINEX2B252812529

Muimbaji huyo ambaye aliwahi kutoka kimapenzi na demu wakizungu na baadae kuachana , amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM Ijumaa hii kuwa, mademu wa kibongo longolongo nyingi ndio maana wanaume wengi wanashindwa kudumu nao kwenye ndoa.

“Tofauti ya mapenzi ya kibongo bongo na wazungu iko kwenye uwazi au ukweli. Wenzetu wako ‘real’. Wabongo longo longo nyingi, kudanganyana sana ndio maana watu wanakaa wiki mbili wanaachana. Siri ya mahusiano ni trust.,” alisema Linex

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents