Burudani
Picha: Blac Chyna apozi nusu utupu akiwa na ujauzito wake
Wifi wa familia ya Kardashian, Blac Chyna anayetegemea kupata mtoto wake wa pili na wa kwanza akiwa na Rob Kardashian, amepozi utupo kwenye jarida la Paper.
Blac Chyna amepiga picha hizo kama alivyowahi kufanya Kim Kardashian. Mrembo huyo aliyezaa pia na rapper Tyga amekuwa miongoni mwa wamama wazuri kwenye jarida hilo (Beautiful People Class of 2016.)