Habari
Serikali imedhamiria kuboresha huduma za afya – Rais Magufuli
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuboresha huduma za afya hapa nchini ikiwemo kuongeza bajeti wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo