Michezo
Video: Makosa haya yapelekea Wambura kufungiwa maisha na TFF
Makamu wa rais wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini (TFF), Michael Wambura amefungiwa na shirikisho hilo kutojihusisha na mchezo wa soka maisha baada ya kuhusishwa na makosa matatu ya kimaadili.