Michezo

Usajili uliotia fora zaidi, watambulishwa kwa ‘helicopter’ jiji lazizima (+Picha)

Usajili uliotia fora zaidi, watambulishwa kwa 'helicopter' jiji lazizima (+Picha)

Mapema juzi siku ya Alhamisi klabu ya Feyenoord inayoshiriki ligi ya Uholanzi imesherehekea miaka 110 ya kuanzishwa kwake huku ikiwatambulisha wachezaji wake wapya wawili.

New Feeynoord signings Yassin Ayoub and Luis Sinisterra arrived by helicopter

Katika sherehe hizo wachezaji, Yassin Ayoub na Luis Sinisterra ambao ni wapya walipata bahati ya kutua na ‘helicopter’ ndani ya uwanja wa klabu hiyo na kutambulishwa mbele ya washabiki waliyohudhuria sherehe hizo.

Both players emerged from the red and white chopper directly onto the pitch to greet fans

Maelfu ya washabiki walijitokeza kushuhudia historia hiyo ya klabu ya Rotterdam ambayo imeshinda jumla ya mataji 15 ya ligi ya Eredivisie huku la mwisho ilikiwa msimu wa mwaka 2016/17.

Moroccan Ayoub (left) joined from FC Utrecht, while Sinisterra arrived from Once Caldas

Mchezaji raia wa Moroco, Ayoub (kushoto) na Sinisterra wakitambulishwa 

Wachezaji hao wapya  Ayoub na Sinisterra wametua kwa mbwembwe dimba la De Kuip huku wakipokelewa na mziki mzito kutoka kwa DJ Afrojack.

Thousands of fans packed the stands at De Kuip to celebrate the club's 110-year anniversary

Maelfu ya mashabiki wakiwa wamejitokeza kwenye sherehe hizo

Robin van Persie ni miongoni mwa wachezaji wa timu hiyo waliyo hudhuria sherehe hizo huku wakitambulisha jezi zao mpya za msimu huu.

Holland's all-time record goalscorer Robin van Persie signs an autograph for a fan

Robin van Persie akisaini jezi za mashabiki

Dutch DJ Afrojack also arrived in the helicopter and  provided the music at the event

DJ Afrojack raia wa Uholanzi akiburudisha

Related Articles

3 Comments

  1. Usajili uliotia fora zaidi, watambulishwa kwa ‘helicopter’ jiji lazizima (+Picha)
    Mapema juzi siku ya Alhamisi klabu ya Feyenoord inayoshiriki ligi ya Uholanzi imesherehekea miaka 110 ya kuanzishwa kwake huku ikiwatambulisha wachezaji wake wapya wawili.
    Katika sherehe hizo wachezaji, Yassin Ayoub na Luis Sinisterra ambao ni wapya walipata bahati ya kutua na ‘helicopter’ ndani ya uwanja wa klabu hiyo na kutambulishwa mbele ya washabiki waliyohudhuria sherehe hizo.
    Maelfu ya washabiki walijitokeza kushuhudia historia hiyo ya klabu ya Rotterdam ambayo imeshinda jumla ya mataji 15 ya ligi ya Eredivisie huku la mwisho ilikiwa msimu wa mwaka 2016/17.
    Mchezaji raia wa Moroco, Ayoub (kushoto) na Sinisterra wakitambulishwa
    Wachezaji hao wapya Ayoub na Sinisterra wametua kwa mbwembwe dimba la De Kuip huku wakipokelewa na mziki mzito kutoka kwa DJ Afrojack.
    Maelfu ya mashabiki wakiwa wamejitokeza kwenye sherehe hizo
    Robin van Persie ni miongoni mwa wachezaji wa timu hiyo waliyo hudhuria sherehe hizo huku wakitambulisha jezi zao mpya za msimu huu.
    Robin van Persie akisaini jezi za mashabiki
    DJ Afrojack raia wa Uholanzi akiburudisha

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents