Habari

Hafsa Kazinja afunguka kuugua miaka sita, kunywa damu na kubadili dini ‘nimeuza magari na nyumba zangu zote’ (+video)

Aliyewahi kuwa msanii wa Bongo Fleva, Hafsa Kazinja (Christine) ambaye kwa sasa anaimba muziki wa Injili amefunguka ishu ya kuugua kwa miaka 6.

Kazinja kupitia Bongo5, amesema mapepo ndio yalikuwa yanamsumbua mpaka akaamua kubadilisha dini kutoka kwenye Uislamu na kuwa Mkristo kisha kuokoka kabisa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents