HabariMichezo

Yanga watangaza mdhamini mpya Haier (+Video)

Klabu ya @yangasc imetangaza mdhamini wake mpya Kampuni ya Haier kwa Mkataba wa shilingi Bilioni 1.5 wa msimu mmoja kwa kipindi chote ambacho @yangasc watakuwa kwenye Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.

Hata hivyo timu hiyo ya Wananchi imezindua jezi zake mpya kwaajili ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika huku uzi huo ukitangazwa kuuzwa kwa shilingi Elfu 50.

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents