Habari

Majizzo awatoa Lilian Mwasha na Masanja Wasafi Fm

Mkurugenzi wa kituo cha EFM @majizzo amezindua kipindi kipya cha dini kupitia TVE ambacho kitakuwa kinaendeshwa na @mkandamizaji @lillianmwasha_ na @hananja.r

@majizzo ameeleza kuwa Watangazaji hao @mkandamizaji @lillianmwasha_ wamehamia TVE

Ikumbukwe walikuwa kwenye kipindi cha Worship.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents