Mchambuzi wa soka @dominicksalamba ameweka wazi kinacho gharimu timu ya Taifa Stars ni kukosa mipango ya ushiriki kila msimu na badala yake inakwenda AFCON kwa kubahatisha.
“Mashindano yanapokwisha watu wanasikitika, hakuna kinachofuata mpaka itokee tena nafasi nyingine. Nikama tunakwenda AFCON kwa kubahatisha, hatuna Mipango mikakati.”