Habari
Arobaini ya hayati Magufuli, Kardinali Pengo amtembelea mjane Janeth Magufuli
Ikiwa leo ni Arobaini (40) ya kifo cha aliyekua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli, Mwadhama Kardinali Polycarp Pengo amemtembelea Mjane wa Dk Magufuli, Mama Janeth Magufuli nyumbani kwake ambapo pia amemkabidhi zawadi ya sanamu ndogo ya Bikira Maria. #pumzikakwaamani #magufuli