Habari

Bajeti ya dola bilioni 19 ya safari ya Mars yaidhinishwa na baraza la senate Marekani

Safari ya Marekani kwenda katika sayari ya Mars imekwiva.

journey_to_mars

Kwa mara ya kwanza katika historia, baraza la senate la nchi hiyo limeidhinisha bajeti ya dola bilioni 19.5 kuwezesha safari hiyo itakayoratibiwa na NASA.

Senate linaitaka NASA kuhakikisha kuwa inapeleka watu kwenye sayari hiyo nyekundu katika kipindi cha miaka 25 ijayo.

38bb674a00000578-0-image-a-87_1474667881914

Ndoto za NASA kwenda Mars zimekuwepo tangu ianzishe satellite inayozunguka kwenye ‘orbit’’ yake miaka 45 iliyopita.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents