Bongo Movie

Chocolate Flavour ndani ya Movie

mr_choc2

Raisi wa Masharobaro aka Mr. Chocolate Flavour, anatarajia kuachia ‘track’ mpya itakayokwenda kwa jina la ‘Ng’ombe’.


Amesema wimbo huo utakuwa kwenye albamu yake ya kwanza itakayoshikilia nyimbo sita. Akizitaja nyimbo zitakazokuwa kwenye Albamu yake ya kama Oyo oyo, Ng’ombe, Singa singa, Pamela, Safari, Sina dola na Bingwa wa makopa.

Pia alidokeza kwa kusema mwaka huu ana matarajio mapya kabisa ya kuibua vichwa vipya, katika muziki wa bongo Fleva ukiachana na Diamond wa ‘Mbagala’, Top C wa ‘Rofa’, na wengine wengi.

Rais huyo amedokeza kuwa na mikakati mapya ya kujiingiza kwenye ‘Movies’ kwa kudondosha filamu yake itakayoenda kwa jina la ‘Welcome Sharobaro’, ila kwa sasa amejitupa kushiriki katika filamu ya Jackline Wolper.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents