Michezo

Cristiano Ronaldo: Bango la matangazo litembealo lenye thamani ya £26.5m

Kwa wengi, Cristiano Ronaldo ndio mchezaji bora zaidi duninia kumzidi mpinzani wake Lionel Messi. Akiwa na likes zaidi ya milioni 100 kwenye Facebook, mashabiki zaidi ya milioni 30 kwenye Twitter, mchezaji huyo wa Real Madrid na Ureno anatafutwa na kila kampuni kwaajili ya kufanya matangazo naye.

1413928908462_wps_3_Ronaldo_graphic_1_jpg

Kila mwaka, mchezaji huyo huingia paundi milioni 26.5 na kumfanya awe na kipato cha £41.5m kwa mwaka ukiongeza na mshahara anaopata.

By Daily Mail

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents