Burudani

Diamond atajwa kuwania tuzo za MAYA 2016 za nchini Nigeria

Diamond Platnumz ambaye kutokana na kutajwa mara kwa mara kuwania tuzo mbalimbali wanamuita ‘Mondi Bin Awards’, ametajwa kuwania MOREKLUE ALL YOUTH AWARDS 2016 kwa kifupi MAYA Awards za nchini Nigeria, ikiwa ndio nomination yake ya kwanza kwa mwaka huu 2016.

diamond afrima

Kwenye kipengele cha African Music Act Diamond anawania pamoja na wasanii wengine wenye majina makubwa Afrika akiwemo, Wizkid, Sarkodie, Fuse ODG, Davido, AKA, Olamide na
Cassper Nyovest.

Tuzo za MAYA zitatolewa January 31, 2016 jijini Lagos, Nigeria.

Ili kuweza kumpigia kura Diamond aweze kushinda tuzo hii ingia HAPA.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents