Michezo

Pierre Aubameyang mwanasoka bora Afrika kwa mwaka 2015

Mchezaji wa timu ya taifa ya Gabon Pierre Aubameyang amebeba tuzo ya mwanasoka bora Afrika kwa mwaka 2015 na kumshinda Yaya Toure.

2FE677A200000578-3389581-image-a-79_1452214865147

Toure alibeba tuzo hiyo mara tatu mfululizo na kama angechukua tena ilikuwa ni mara ya nne mfululizo ambayo ingekuwa ni rekodi.

2FE4272100000578-3389581-image-a-89_1452209358558
Pierre Aubameyang akiwa na Baba ake na Kaka yake

Aubameyang anekipiga katika kikosi cha Borrusia Dortmund ya Ujerumani na timu ya taifa ya Gabon ambayo yeye ni nahodha.

Tuzo hizo zimefanyika jijini Lagos nchini Nigeria na kuhudhuriwa na watu mbalimbali maarufu katika soka barani Afrika.

Yaya anayekipiga katika kikosi cha Man City alishika nafasi ya pili huku ya tatu ikienda kwa Andre Ayew ambaye aliongozana na baba yake, Abeid Pele.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents