Burudani

Drake amdiss Tyga kwenye mixtape mpya ‘If You’re Reading This It’s Too Late’ , Tyga amjibu

Baada ya Drake kutoa album project ya kushtukiza Alhamisi Feb.13 ambayo baadae alikuja kuthibitisha kuwa ni mixtape iitwayo “If You’re Reading This It’s Too Late” yenye jumla ya nyimbo 17, kuna wimbo ambao umeibua tena beef yake na Tyga.

Drake Tyga

Katika mixtape hiyo kuna wimbo unaoitwa “6 PM in New York” ambao Drake amemdiss Tyga na uhusiano wake na mdogo wa Kim Kardashian, Kylie Jenner.

Kwenye wimbo huo Dizzy ana rap maneno haya:

“I heard the lil lil homie talking reckless in Vibe,” akimaanisha Interview ya Tyga na jarida la Vibe mwaka jana ambapo alikiri hapatani na Nicki Minaj na Drake ambao wako label moja.

“Quite a platform you chose, you shoulda kept it inside/ Oh you tried, it’s so childish calling my name on the world stage…You need to act your age and not your girl’s age.”

Hata hivyo haikumchukua muda Tyga kujibu kwa tweet ambayo baadae aliifuta:

“@Drake u still a b**ch. All that sneak dissing is weak. Just pull up. I know where u live and u know my address.. U been ducking the fade from Brown,”

tyga tweet

Related Articles

28 Comments

  1. I just want to tell you that I am all new to blogging and site-building and absolutely loved this blog site. More than likely I’m likely to bookmark your blog post . You certainly come with superb articles and reviews. Many thanks for sharing with us your website.

  2. I have taken note that of all kinds of insurance, health insurance coverage is the most marked by controversy because of the issue between the insurance policy company’s necessity to remain adrift and the consumer’s need to have insurance plan. Insurance companies’ revenue on health plans are certainly low, as a result some corporations struggle to earn profits. Thanks for the tips you reveal through this site.

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents