Mahojiano
G Nako kuhusu kauli ya Linex kwamba Bongo Fleva inaelekea pabaya (+ Video)
Mbali na hilo @gnakowarawara akiongea na wana habari ameeleza namna muziki wa Bongo Fleva unavyoshika kasi duniani.
@gnakowarawara alijibu swali la mwandishi alipoulizwa kuhusu kauli ya msanii mwenzake @linexsundaymjeda ambaye aliitoa kupitia Instagram yake na kusema kuwa muziki ni kama chakula kila mtu anachagua ale chakula cha aina gani.