Burudani
Gigy Money aingilia kati ugomvi wa Alikiba na Shilole (+ Video)
Kila mmoja anajua kinachoendelea mitandaoni kati ya Alikiba na Shilole baada ya Kiba kusema hakumualika Shilole kwenye uzinduzi wa Album yake.
Shilole hakukaa kimya alikuja juun a kuhoji kwanini Alikiba anasema hivyo haliyakuwa alimpost kwenye page yake ya Instagram.
Mmoja wa mastaa wa Bongo Fleva Gigy Money hajakaa kimya amekuja mitandaoni na kutoa maoni yake kuhusu hilo.