Burudani
Joto Tuzo za TMT 2024 mfumo wa Tovuti kutumika
Mbali na hilo Mwenyekiti wa kamati ya tuzo za Muziki Tanzania David Minja amewatangazia wasanii na waandaaji wa kazi za Sanaa nchini na Afrika kwa ujumla kwamba mfumo rasmi utakaotumika kuwakilisha kazi za muziki kwa hatua za uthaminishaji kwenye kinyanganyiro cha tuzo za Muziki Tanzania kwa mwaka 2024.
Video Nzima ipo katika Akaunti yetu ya youtube ya Bongo5
Written and edited by @abbrah255 and @el_mando_tz