Kiuno viuno kukamua Travertine
Msanii kutoka Mombasa mwenye CV nzuri yanapokuja maswala ya kuzungusha nyonga, Fifi Moto, atakuwepo kwenye onyesho kabambe la taarab litakalofanyika Januari 24 kwenye hoteli ya Travertine na kushirikisha magwiji wa Taarab Afrika Mashariki wakiwemo Jahazi Modern Taarab na Malkia Khadija Kopa. Tamasha hilo limepewa jina la Pati kali la kufungua 2010