Michezo
#LIVE: Simba SC wsatua Dar na kombe la FA, mapokezi balaa (+Video)
Mabingwa wa michuano ya kombe la Azam Sports Federation Cup, Simba SC wametua Dar es Salaam na ubingwa wao wakitokea Kigoma ambapo ndipo fainali ya mchezo huo ilipo;pigwa dhidi ya watani wao Yanga na kuibuka na ushindi wa goli 1 -0, likifungwa na Taddeo Lwanga dakika ya 80.
Kuangalia video bofya HAPA