Habari

Maafisa wa Ukrain na Urusi wapiga ‘Live’ nchini Uturuki

Mjumbe mmoja wa Ukrain amenaswa kwenye video akimshambulia kwa ngumi afisa wa Urusi wakati wa Mkutano wa kiserikali nchini Uturuki.

Kipande hicho cha video kimesambaa kwenye mitandao ya kijamii kinamuonesha afisa wa Urusi akimpokonya bendera mjumbe huyo wa Ukrain alipokuwa ameishikilia nyuma ya afisa mwingine wa Urusi wakati wa mahojiano.

VIDEO BOFYA HAPA

Imeandikwa na @fumo255 video credit Al Jazeera

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents