Mashekhe na Mapadri wameniombea imeshindikana, Watanzania nichangieni na mimi nizae – Diva (+video)
Wakati kuna wanawake wanatupa vichanga majararani bila hata hofu ya Mungu, upande mwingine wapo wanawake ambao wanahangaika kila uchwao kutafuta watoto kwa udi na uvumba.
Mfano wa Wanawake hao ni Mtangazaji wa kituo cha Radio cha Clouds FM ambaye amekiri wazi kuwa amehangaika kwa kipindi kirefu kutafuta mtoto lakini imekuwa ikishindikana kumpata.
Akielezea safari hiyo, Diva amedai kuwa ameombewa na Mashekhe na Mapadri na kunywa kila aina ya dawa ya uzazi lakini hajafanikiwa hadi alipopewa majibu na wataalamu kuwa mirija ya uzazi imeharibika hivyo hataweza kuzaa kwa njia ya kawaida.
Diva kwa sasa anawaomba Watanzania wamsaidie kwa kumchangia kiasi cha dola $7,000 ambacho ni zaidi ya Milioni 15 ili aweze kwenda Marekani kwa ajili ya IVF Treatments yaani mfumo wa kupandikizwa mbegu za kiume.
Kapandikizwe Kama wanyama maana shombo ulilokuwa ukitoa ulijua mungu mjomba ako
Nazile mil 500 zimeisha ??
Njoo kwangu lazima uzae tuuuu
jamani kumbe siku hizi maboss lady wanaombaga michango ndio mkome kujishaua kwenye mitandao Mara ooh nalipwa mil kadhaa mbwembwe nyiingi kwenye mitandao nyambafu kweli bongo nyosso
Nitampa zangu bure
Uyuu. Chiz kwel dahhhhh
Mweeh! Kama Ulishawah Wanya Pole Yako Uwenda Uliwamaliza Wote Uliopewa
Na Kama Hujawah Fanya Abortion Basi Mungu Atakupa Tu
Kwani hujapata bwana wa kukuoa kwa milioni 500 mahali yako uliyokuwa unaitaka ili ukajitibu mwenyewe
njoo kwang utapata mapacha
Ulitakiwa ujiombee mwenyewe kumbe una utajiri wa kogo sauti Na mbwembwe tu….
Tuanzie Hapa , umetoa ngap ?/then mengine yatafuata
hahahaha Janjaro Tz
Tatizo utaki ndoa !mtoto anataka baba sio mama wewe kula maisha .
Vumilia,usikate tamaa
Mahar mingi kumbe huna jambo!!!!
Mwambieni alete mzigo kwangu niupige kisawasawa atapata mtoto asiogope
Subir mahari m500 utoe m150 zinazobaki faida yako
Uatazaa na nani sasa wa ml. 500?
Tumia zile mil500
Wap milion 500 wap wanao jua kiingereza hakuna ajuae kesho
Haijashindikana we sema tu unataka ukazae na wazungu tu!! Shwain
By the way sipo kwa ajili ya kukuhukumu ila nauliza…nakumbuka uliwahi sema unatumia 1m per day sasa iyo 15 itatosha kweli na matumizi mengine ?
Aache ubwege huyo
Kwani yale mahari ya mil 500 hujapewa bado?
Eeeeeeh cc tn masikin tukchngie wkt ulitudhllsh kw kusem bila ya milion miatano hutk kuolew 😁 n hutk mwanaum asyjua kizng daaaah ama kwel mng mkubw leo hii untk michng kwet kwn zil milion miatn zmeish au
Omba mchango wa mbegu,mbna huku kwetu zipo tu tena bure bure,achana na hizo milioni
Raha y mtt awe n baba yake n cykupndikiza km unvytk ww n kwanyod zil ulizozitoag aaaah mnaon br ucpt mtt tu
Yan ulikuwa unatak mahali y milion miatano kumbe kizazi huna, kwhy ulitk kutuuzia mbuzi kweny kiroba 😀
Huyu ni punda wa Australia kweli..watanzania wakuchangie na still unabonga ati utapandikiziwa sparm za Neymar…hufai hata kulumangiwa chumvi…puuàaaaa
Kama kwao imeshindikana kwangu nijambo simple tu.wewe fanya kunitafuta tulimaze tatzo
nenda kwa gwajima ilo ni tatizo dogo sana kwakwe
First of all inabidi ujuwe gisi ya kuomba na kulomba, usikate tamaa Mungu ni Mungu, Mungu akitaka hata upandikizwe hazitazaliwa, usioneshi kama unataka umpinge Mungu, wapo ambao waneolewa wako kwenye ndoa myaka na myaka hawajabahatika kupata mtoto na wala hawana tatizo lolote, Mungu anatoa anapotakia yeye mwenyewe, Kuombewa kwako ili uzae na hauko kwenye ndoa kuna maana gani?? Hata waliekuombea hawajuwi walichokua wanakifanya, INABIDI 1)UTUBU ZAMBI ZAKO ZOTE,2) UTAFUTE NDOA, 3) UOMBE MTOTO
subir mahari ya milioni mia tano ulosema utajitibia Mungu hajaribiwi
Hata Mimi nimejiuliza kweli hilo swali.
Fanya Untafte Tumalze Tatzo !!!
🏃🏃🏃
Narudia tena #hakuna_kiumbe_kinachopata_tabu_sana_kama_mwanamke_mpumbavu
Duuuuuu sasa huo sio ustaaaa
Sasa watanzani wakuchangie nn sijaelewa hapo,au mtu anaetaka mtoto anachangiwa na watanzania kumbe?
Kutoka mahari ya mil500 hadi kuomba msaada wa mil15
Aulizwe ametoa mimba ngap mpaka aasaidiwe kuzaaa
Sorry but ile mimba uliyotoa ya marioo wako vip,au sio diva ww
Bongo5.com ,mwambieni anitafute nimuombee nimpe dawa, mungu atamjaalia
Unayoyafanya kwa wenye iman ni kufuru kubwa sana,na sijui kama bado unafans kweny kipind chako,kahaba mzee wewe…nyooooooooooooooo
Hayo ndo matokeo ya maisha ya kisuper star ulio yaishi…mungu ukumkumbuka mwanzo kwanini yeye hakukumbuke leo
mama wa 1m kwa siku leo unaomba hahaha baba magufuli tunyooshe walahi tutaeshimiana tu
Nitafute
Unachanganya mambo. Hujamjua Mungu wa kweli ndo maana ulienda kuombewa na watu hao.
Hahaha!
subiri bwana aje na milioni 500 akuoe utazaa
Badi Ngosha yn dada alizngua huy cjui hkuju km kun mungu
Ukubaliane tuu na mapenzi ya mola………tanzania itajaa tuu na specie ya binadam itaendlea kuexist bila wewe kuzaa…..na sio wa kwanza wewe kuwa na hali hiyo ….kuwa na imani muombe mungu zaid
Haaaa we noma
We c boss lady
Tatizo umechezewa sana
Muomba mungu hachoki
ungana na mimi
Tatizo unatembea na matozi watoto wamama chips mayai kuna watu bao moja tu mimba wewe unachagua mara unataka mwenye hela nyingi anaejua kizungu sasa hao nguvu hamna utahangaika nao weeee mwishoe utaitwa bibi na watoto wa wenzio
Million 500
ZILE MIL 500 ZIMEKWISHA?? ACHA MASIHARA ASEE
weeee
Afadhal angeomba wema
Uyuu anazingua hana IMANI ata akiombewa
Kama ulikua unatumia m1 kwa siku Mbona M15 ni siku 15 tu ukiiweka .
Una jua cku zote uki jiweka juu ipo cku mungu ata kudharirisha una jua diva una jiona kama hufi una jiona ww ume maliza mm nina apa kwa jina mungu ww hina haja ya kwenda hospital yoyote ile ww una zaa vizuri vizuri mungu ame tutofautisha huyu ame mpa kipa huyu amempa ujuz wa miti nina rudia tena ww huna haja ya kwenda popote uta tupa pesa to endapo yupo mtu ana jua diva aingie dm kwa jina hili hili la fb nita muuliza maswali yangu matatu aki jibu hivyo vitu akiwa ana viona hutokea mm nita fanya nina kijua azae Aksante
kamwone calisa,hapohapo dar
Ndio wewe uliesema unataka mali mil500, Je ungekaa kama kopo ndani au!!
nyodo kibao mala oooh cdate na mtu acyejua kingereza mala mahali yangu ml500….leo unaomba tunaomba tukuchangie…we mzima kwel
Weka namba
Pambana na hali yako
Ana kampuni lakuwapa mimbazzzzz
Au kwa suguye
Nitafute
Ndio ujifunze kuwa mungu aziakiwi na ukiwa unaongea uwe unaweka akiba ya maneno sawa dada ulisema mwanaume anayetaka kukuoa aje na milioni 500 pili ukasema wewe matumizi yako kwa mwezi milion 15 sio sasa leo imekuwaje kuwaomba walalaoi ela za kupandikiza mbegu tena unasema ata mbegu za kitanzania sawa wakati mwanzo ulisema kama kuzaa basi utazaa na neymar wala si mwanaume yoyote apa bongo😂😂😂😂😂😁😁😁muombe mungu wako na utubu makosa yako bwingo wewe
Aliongea maneno ya kejeli kiasi ya kwamba sisi tulio maskini tumependa kuwa ivi ndio ajue mungu utoa kwa mafungu na kwa wakati pia ukipata usiwasau wenye uitaji yeye akawa anatukana baba maguuuuu eheeee sasaivi heshima ipo 😂😂😂
Bangi hizo
Yaani mzee baba kweli kuwa uyaone ya binadamu mahali milion 500 leo unaomba milioni 15😂😂😂
Enock Apolinaly hahaaaa
uzee unakuhusu unaleta nyodo haujui umri unaenda ktk million 500 zile chukua hzo million 15 utibiwe
huyu anazingua
Vumilia mama bado 20,000 ifike mili 500 Nipe week moja niuze nyama iliyobaki buchani,na madeni ya mayai alichukua shirima, trei 2.
Pambana na hali yako
Sasa dada kwann ulikua ukichoropoa mimba jamani huoni kua hiyo ni laana inakutafuna! Mimi sitochanga pole
hahaha nakuambia ni shida
Sasa kuza unachangiwa au hulikua unataka kupigwa mtungo ulizike
Dr. Shika yupo huend aktoa iyo mahali ya yutong 6 😂😂😂
Kwa matusi yake hawezi kupata hata mia
sio watanzania tu nasisi tukonyumayako kwamucango wowote tunakupendaaa
Kutoka 500 Bride price mpaka mchango wa ujauzito……kweli Mungu sio kitwana Kondo!!!!
Kupandikizwa mbegu za kiume yn Anayezikojoa n nan hizo mbegu?? Au unaenda na bwn ako marekani¿???
We si umekaanga mayai yako mwenyewe
Tatzo Lako Diva Ni Msenge Tena Waajabu Izo Milion 15 Unazozitumia Kwa Weki Moja Ungeendelea Kuziweka Ungepata Wap Mda Wakuwaomba Wa T.z Kukuchangia .? Nakuhuxu Kupata Mimba Hilo Sio Tatzo Njoo Nikupandikize Mm Tatzo Unaotembea Nao Kwanza Wala Chebese 2 Nyama Nyama Mayayi. Wala Hawajuw Kula Mboga Mboga Ugal Dona Maziwa, Unadhan Wanapata Wap Nguvu Zakukuzalia Ww..?
Tatzo Ulitoa Sana Mimba sasa Unataka Mtoto 2bu kwanza
Sisi hatuja changiwa etii tukuchangie uzae duh
Haahahah
Pia mm anaomba kweli au comedy kwani kauli zake azina ata mwaka anataka kuolewa m 500vleo tena anawachangisha watu wa all ya chini ujana uwa unawadanganya si kazi ametoa sanaa izo mimba sasa anasaka kwa tochi kweli dawa ya homa Kali ni sindano japo inauma Maneno rwiza mbutu
Awachangishe wanaojua kizungu sasa atui kizungu si atakua anatuzulumu
Kumbe ukiitaji kupata mtoto unachangiwa sasa mtoto wa wote waliochanga au ebu tufafanulie
Utakula jeuri yako ulivyotoa maneno ya shombo ulifikiria Mungu mjomba wako ayo ndio malipo
Salum Method hahaaa yaani hii nizaidi ya move yakihindi anataka akapandikiziwe mbegu
Uache tabia zako chafu ndo utazaa
Haaahhhaa bangi
Kamwombe mamako kwakuwa mlixhatuona watanzania kuwa ni mafara ss kunguni kama we me naomba hata ukipata pesa ukifanyiwa uparexhen nayo ixhindikane na usizae na mkome kuropokaropoa ka mwambie mamako akuchangue ngombe ww
Olewa kwanza…mchango wa kuzaa wa nini wakati hujaolewa
Nina 500milioni nataka nikuone je uko tayari?
Pa1
Uza iphone
Hussein Kihenya
Majid Mohammed jidi gaidi
Mbona unatangaza tukuombee upate mtoto mbona ndoa hukutangaza
Mafia mkubwa
Hahaaa naona kampeni inaendelea
Mungu hadhihakiwi… Apandacho mtu ndicho avunacho
Alishawai kusema mtu atakae muoa alipe mahari milion 500
Wacaga nao bwana🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Tukichanga izo hela baba atakua nan sas
Murenzi Muhoozi Aman usicheke huyu Dada alisema atakayetaka kumuoa shart awe na million Mia tano ya mahari
Funny
🙏🙏🙏Pleas samehe😢
Guys msameheni msimuhukumu si ni binadamu kuna kuteleza uendaaa yeye aliteleza tufanye kama ku mnyanyuaa
Rudia tena zile kauli zako za umiliki wa pesa…muwe na akiba ya maneno.
Tabu iko pale paleeeeee
Salum Method kwl kbs
Champion Mke Manula kzngua kwel yn
We muombe Mola wako ndo mwenye uwezo wa kukufanya uzae ila hayo mengine ni bure tu hata ukachangiwa dunia nzima.huenda ikawa we kafiri ndo mana unatafuta mtoto kwa lazma