HabariUncategorized

Mbunge wa CUF aliyehamia CCM ‘nilikuwa na hofu ya kutumbuliwa na viongozi wangu’ (Video)

Mbunge wa Liwale kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Zuberi Kuchauka leo Jumatatu Agosti 13, 2018 ametangaza kujiunga na CCM.Ametangaza uamuzi huo leo katika mkutano wa waandishi wa habari uliofanyika katika ofisi ndogo za CCM Lumumba jijini hapa, akiwa sambamba na Katibu Mkuu wa chama hicho tawala, Dk Bashiru Ally.

Related Articles

4 Comments

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents