Habari
Muingereza avunja rekodi ya dunia ya Guinness kwa kutembelea nchi 193 bila ndege
Raia wa Uingereza amevunja rekodi ya kitabu cha maajabu ya dunia cha Guinness kwa kuwa mtu wa kwanza kutembelea nchi zote 193 wanachama wa umoja wa mataifa bila kutumia ndege.
Graham Hughes alitumia miaka minne kusafiri duniani kote na kutembelea jumla ya nchi 201.