Bongo5 Exclusives
Mzee Onyango afunguka A-Z kuhusu maisha yake ”Vita ya Kagera nilikuwa ‘Operator’, nilitaka kujiita Udongo, Brother K”(+Video)
Msanii mkongwe wa maigizo ya vichekesho nchini, Mzee Onyango amezungumza A – Z historia ya maisha yake ya sanaa, mafanikio na changamoto alizopitia.