Michezo

Neymar ajitengenezea rekodi Barcelona

Mchezaji wa timu ya taifa Brazil, Neymar Jr amekuwa ni Mbrazil watatu kufikisha magoli 100 akiwa na klabu ya Barcelona katika michuano yote lakini bado mchezaji huyo anaonekana anauwezo wakuja kuweka rekodi yake.

Evaristo ndiye alikuwa mchezaji kwanza kufikisha magoli 105, na wapili alikuwa Rivaldo aliye fikisha magoli 130.


Evaristo ambaye alifikisha magoli 105

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents