Burudani
Osha macho kwa picha za kuvutia za video queen wa ‘Nagharamia’ Zahara Zaire
Zahara Zaire aliwahi kukiri kwenye interview tuliyofanya naye kuwa anapenda sana Tanzania na kama angeweza basi angehamia.
Alikuwa Dar na kukaa kwa wiki kadhaa ambapo pamoja na mambo mengine alifanya photoshoot na wapiga picha mbalimbali. Hizo chini ni zile alizofanya na kampuni ya Slide Visuals.