HabariMichezo

Pacome Zouzoua aishukuru Yanga

Kiungo wa Yanga Pacome Zouzoua amefanikiwa kujumuishwa kwenye kikosi cha Taifa lake Ivory Coast kwa mara ya kwanza.

Pacome amejumuishwa kwenye kikosi hicho kinachojulikana kama Tembo kinachoenda kushiriki Fainali za Mataifa ya Afrika yatakayofanyika nchini Ivory Coast, ingawa amewahi kuizitumikia timu za Taifa kwa vijana lakini haikuwa rahisi kuitwa timu ya wakubwa.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents