Michezo

Paul Clement atangazwa rasmi kuwa kocha wa Swansea

Klabu ya soka ya Swansea City imemtangaza rasmi Paul Clement kuwa ndio kocha wao mpya wamempa mkataba wa miaka miwili na nusu.

Paul Clement ambaye alikuwa kocha msaidizi wa klabu ya FC Bayern ya Ujeruamni, Mechi yake ya kwanza akiwa kama kocha mkuu wa klabu hiyo ilikuwa dhidi ya Crystal Palace ambapo alipata ushindi wa 2-1.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents