Burudani

Picha: Mastaa walivyoadhimisha siku ya wanawake duniani

Mastaa mbalimbali wa Afrika jana waliadhimisha siku ya wanawake duniani kwa namna mbalimbali. Hawa ni baadhi ya waliotuma ujumbe mahsusi kwa wanawake wao muhimu maishani.

Mr Blue

12797627_948577181923988_1711716254_n

Ujumbe: #happywomensday

Diamond

12826145_518141931680570_832871329_n

Ujumbe: Allow me to wish Happy Women’s Day to my precious

Gelly wa Rhymes

11373677_1681896732048474_1731493022_n

Ujumbe: Happy women’s Day to all women out there!! Love u so much Elizabeth promise to make u proud Mum! God bless u!

Alikiba

12825842_550084581840803_1438229424_n

Ujumbe: Happy Women’s Day || Kheri ya Siku ya Wanawake Duniani kwa Mama yangu, dada yangu pamoja na Wanawake wengine wote Tanzania na duniani. Tunawathamini na kuwapenda sana. #WomensDay2016 #KingKiba

Mastaa wa Nigeria nao hawakuwa nyuma. Miongoni mwao ni Davido, D’ija na wengine.

P 21
Baada ya kupost picha hiyo, Di’ja aliandika, “ “M.A.M.A ?????? without u there is no me. Everyday is mother’s and Father’s Day.”

federico-macheda-5-4x3101-1330694_478x359

ngasaaaaa

P-21-300x194

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents