Burudani
Picha: Vanessa Mdee ashirikishwa na Navio na Radio and Weasel
Vanessa Mdee alienda nchini Uganda kutumbuiza kwenye show maalum ya siku ya wanawake duniani.
Vanessa akiwa na wasanii wa Uganda, Radio and Weasel
Akiwa huko hajaishia tu kutumbuiza, bali pia kufanya collabo na wasanii wa huko. Muimbaji huyo wa ‘Never Ever’ amepost picha akiwa na wasanii Radio and Weasel na kuandika: Dreams Come True believe me #HitsOnly Radio n Weasel x VeeMoney ?? #VeeMuKibuga.”
Nao wasanii hao walipost picha wakiwa naye na kuandika: Absolute, pleasure making sweet music with @vanessamdee #magic.”
Pia Vee Money alipost picha nyingine akiwa na Navio na kuandika: Years in the making #HitsOnly @naviomusic ?? #VeeMuKibuga.”