Habari
Rais Magufuli aitaka kampuni ya Total kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Kampuni ya Total , Momar Nguer kuhusu mradi wa Bomba la Mafuta. Ambapo ameitaka kampuni hiyo kuharakisha ujenzi wa bomba la mafuta.
Soma taarifa kamili: