Habari
Rais Magufuli amjulia hali Meja Jen. Mstaafu Vincent Mritaba
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli amjulia hali Meja Jen. Mstaafu Vincent Mritaba, hospitali ya Lugalo baada ya kushambuliwa na watu wenye silaha.
Soma taarifa kamili: