Habari

Rais Magufuli ateua mkurugenzi mkuu wa TBS

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Prof. Egid Beatus Mubofu, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS).

Soma Taarifa kamili:

Prof. Egid Beatus Mubofu ambaye alikuwa akikaimu nafasi hiyo, amechukua nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Joseph B. Masikitiko ambaye uteuzi wake ulitenguliwa.

Na Emmy Mwaipopo

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents