Siasa

Rais Samia awataka TUCTA kutoa ushirikiano wa kutosha kumaliza jambo la kikokotoo

”Kuhusu kikokotoo, Serikali tutakaa na TUCTA kuangalia jinsi tutakavyoweza kufanya, naomba TUCTA kutoa ushirikiano wa kutosha katika jambo hili ili mwaka huu tuweze kumaliza jambo la kikokotoo na maslahi ya Watumishi yaweze kupatikana kwa kiwango cha kuridhisha,”- Rais Samia Suluhu Hassan

 

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents