Habari
Rais Samia Suluhu atunukiwa Shahada ya Heshima Uturuki
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari (Honoris Causa) ya Uchumi kutoka kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ankara nchini Uturuki Profesa Necdet Unuvar kwenye hafla iliyofanyika Chuoni hapo leo April 18, 2024.
Imeandikwa na Mbanga B.