Michezo

Pilato wa Mchezo wa Simba na Yanga awekwa wazi

Kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo Wababe Simba na Yanga wanaenda kukutana siku ya Jumamosi April 20, 2024 waamuzi wa mtanange huo wameshajulikana.

1. Mwamuzi wa Kati – Ramadhani Kayoko.

2. Line 1 – Frank Komba

3. Line 2 – Janneth Balama

4. Kamisaa – Heri Sasi.

 

 

 

 

 

Imeandikwa na Mbanga B.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents