Burudani
Rose Ndauka: Yes I do, this is the mood am in!!!
Kuna kila dalili kuwa watoto wa Kiswahili wakapata fursa ya kudandia pilau la harusi ya Rose Ndauka na Malick aka Chiwaman hivi karibuni.
Rose Ndauka
Wakati ambapo tayari wapenzi hao wamejaaliwa mtoto, kinachowakuna sasa ni kuhalalisha kabisa mzigo na kuishi kama mke na mume waliofunda ndoa. Muigizaji huyo wa filamu ametumia mtandao wa Facebook kuelezea hamu yake ya kuvaa shela na kuapa mbele ya padre/mchungaji ‘Yes I do’.
“YES I DO———–mood am in,” ameandika mrembo huyo.