Burudani
Rushayna afunguka kufuata pesa kwa Manara “nimepewa talaka moja”
Aliyekuwa mke wa @hajismanara , @rushaynah_ amefunguka kwa mara ya kwanza kilichotokea kati yake na alieyekuwa mume wake huyo ambapo amedai amepewa talaka moja.
Mrembo huyo ambaye leo amelamba dili la ubalozi la @emish_training_centre , amedai kwamba mambo mengi yaliyozungumzwa mtandaoni sio ya kweli ndio maana akaamua kukaa kimya.