Habari

Rwandair kushusha ndege mbili mwishoni wa mwaka huu

Shirika la ndege Rwanda (Rwandair), linatarajia kuingiza ndege zake mbili mpya aina ya Airbus A330 zenye uwezo wa kubeba abiria 276.

rwandair

Akizungumza ofisini kwake jijini Dar es salaam, meneja mkazi wa shirika hilo nchini, Ibrahim Bukenya amesema, “ndege hizo zitaanza safari zake kuanzia mji wa Bombay nchini India na Guanghazou nchini China zikitokea Kigali Rwanda.”

WhatsApp Image 2016-08-04 at 11.09.57

Alimalizia kwa kusema ndege hizo zitawasili kabla ya mwisho wa mwaka huu.

BY: EMMY MWAIPOPO

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents