HabariMichezo

Saleh Karabaka asajiliwa Simba SC

Miamba ya soka Afrika Mashariki na Kati, Simba SC imemtambulisha rasmi Mshambuliaji wa JKU ya Zanzibar, Saleh Karabaka maarufu kama Tumbo Jr kuwa mchezaji wao.

Usajili wa Karabaka mwenye umri wa miaka 23 unakuwa wa kwanza katika dirisha hili dogo.

Karabaka tayari amejiunga na timu Visiwani Zanzibar na ataanza kuonekana akiwa na jezi ya Mnyama katika michuano ya Mapinduzi inayoendelea.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents