Michezo
Singida United yatangaza kikosi chake Vs Yanga SC, Dany Usengimana ndani
Klabu ya Singida United imetangaza kikosi chake kitakacho shuka uwanja wa Taifa hii leo kuwakabili mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara timu ya Yanga SC.
Singida United inayonolewa na aliyekuwa kocha Mkuu wa Yanga SC, Hans Van Pluijm itaingia uwanjani huku mchezaji wake raia wa Rwanda, Dany Usengimana akianzia benchi baada ya kurejea kutoka kwao alipokuwa amekwenda kushughulikia matatizo ya kifamilia.
Hiki hapa kikosi kamili cha Singida United