Habari
Sugu aitaka serikali kuwalipa mafao askari wastaafu wa Magereza (+video)
Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi(Sugu), ameitaka serikali iwalipe Askari wa Magereza mafao yao waliostaafu na kukaa zaidi ya miaka miwili.Tazama video hii Sugu akiwatetea Askari Magereza hao.