Michezo
Tottenham kuendela kuwa kosa wachezaji 5 kwenye UEFA
klabu ya Tottenham itaendelea kumkosa mshambuliaji wake Harry Kane ambaye ataendelea kuuguza jeraha lake la kifundo cha mguu wakati ambapo timu yake inakabiliana na CSKA Moscow katika kombe la vilabu bingwa Ulaya siku ya Jumanne.
Harry Kane
Danny Rose
Eric Dier
Tottenham itamkosa beki wake wa kushoto Danny Rose na kiungo wa kati Eric Dier,Mousa Dembele na Moussa Sissoko.