Michezo

Uzi mpya wa Manchester United msimu wa 2020-21 wavuja mtandaoni

Jezi mpya za klabu ya Manchester United za nyumbani zinazodhaniwa kuwa ni za msimu ujao wa mwaka 2020/21 zimevuja mtandaoni huku mashabiki wakizisifu kutokana na kuwa na muundo rahisi.

Manchester United's 2020-21 new home kit was 'leaked' online with new subtle design

Kulikuwa na hofu kuwa huwenda jezi hizo zikawa ni zile zilizovuja kabla ya hizi ambazo mashabiki wengi walizichukia huku muonekano wake wakizifananisha na siti za basi kupitia akaunti ya mtandao wa Twitter. Lakini mapokezi ya hizi yamekuwa mazuri zaidi kwa mashabiki.

Fans feared the club would go with this design, which has been compared to a 'bus seat' online

Jezi iliyowachukiza mashabiki wa United na kulinganishwa na siti za basi

Uzi huo wa Mashetani Wekundu uliovuja kupitia mtandao wa ‘Footy Headlines,’ una rangi nyekundu iliyokolea na logo nyeupe ya Adidas.

The red top is covered by a black and yellow stripe design after fears it wouldn't work

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents