Kiungo wa Matajiri wa Jiji la Dar es Salaam @azamfc @feisal amefika Aga Khan Hospital kwaajili ya kufanyiwa vipimo vya afya kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara pamoja na michuano mingine.
Akiwa Aga Khan Fei Toto amekumbushia namna rafiki yake wa karibu @fiston alivyomtakia mafanikio kwenye timu yake mpya ya Azam FC ”Mimi mwenyewe namtakia kila lakheri kama atabaki Young Africans ama ataondoka Insha Allah”