Wapenzi wa simu za ‘kishua’ za iPhone mpo? Huenda toleo jipya la simu hizi likaingia mtaani soon. Kumekuwepo na tetesi kwenye mitandao kuhusu simu hiyo lakini kikubwa zaidi watu wengi wanachokitazamia ni ukubwa wa screen kulinganisha na simu za hapo awali. Inaweza kuingia sokoni mwezi ujao.
Join our mailing list to get the latest news!
Related Articles
Check Also
Close
-
New Video: Jamwe He Ft Chege -NadoJanuary 17, 2018 - 12:44 am
-
Video: Ivrah – TusheherekeeDecember 25, 2017 - 5:01 pm