BurudaniUncategorized

Video: Lissu ni shabiki wa ‘Seduce Me’, Mungu amponye haraka – Alikiba

Msanii wa muziki kutoka RockStar4000, Alikiba amesema hakutegemea mtu kama Mh Tundu Lissu angeweza kuweka hadharani hisia zake juu ya wimbo wake, Seduce Me. Muimbaji huyo amemuomba mwenyezi Mungu ampe siha njema mbunge huyo machachari wa CHADEMA ambaye amelazwa nchini Kenya baada ya kipigwa risasi na watu wasiojilikana. Wiki chache zilizopita mbunge huyo alidaiwa kupost kitu mtandaoni akiuzungumzia wimbo huo huku akiushindanisha na zilipendwa wa Diamond.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents